JINSI YA KUMSHIKA MKE AU MPENZI WAKO Wengi hulizwa na wapenzi wao wa dhati pengine ni kwasababu hawajui wafanye nini! Kuna mbinu za kumfanya mke au mume atulie na wewe. Mini mwanamke anataka? --->Anahitaji mwanaume anayempa furaha.Anaemfurahisha muda wote na kupenda -->Anahitaji mwanaume atakaye taniana naye.Tambua kwamba utani hunogesha zaidi mapenzi yenu sio kila wakati mwanaume upo serious laah unataka uitwe kinyago cha kutishia watoto? -->mwanaume atakayekuwa baba wa familia mwenye msimamo thabiti asiyeyumbayumba yaani Mara huku Mara kule na anayempenda -->Anahitaji mwanaume anayemridhisha katika tendon la ndoa .Hakika utapendwa japo tatizo kubwa kwa sasa ni Wanaume kutowaridhisha wake zAo nikuibie tu siri kidogo ;usiwe na papara muwapo kitandani tulia ikiwezekana cheza nae kwanza kabla ya tendon lenyewe na hapo utaona matokeo yake lazima tuu atakupenda tatizo LA wengi ni ikisha chanua anachojua ni kupiga mzimamzima ...