Ruka hadi kwenye maudhui makuu

HOMONI NA MATATIZO YAKE

Homoni ni duty za kikemikali zinazotengenezwa kwenye tezi maalumu katika mwili wa mnyama au viumbe zinazosababisha tishu au seli kufanya kazi husika.
Tunaposema nidutu tunamaana ni kemikali ambayo ni halisia
.Homoni hutumika kama msafirishaji.
Homoni huzalishwa ndani ya tezi tofauti tofauti ndani ya mwiliambazpo kuna tezindani na/vichuno
Tezindani/vichuno
NI tezi zote zinazozalisha homoni na hazina mirija ya kusafirishia kemikali/homoni zinazozalishwa mfano wa tezindani NI ttezi ya Pituitary, kongosho, Thairoid, Parathyroid, Adrenal, na tezi za uzazi(ovary na korodani?)

Baadhi ya tezi zenye mirija ndani ya mwili NI tezi mate,tezijasho na tezimachozi

          PITUITARY
.Hupatikana sehemu ya kichwani chini ya ubongo wa cellebelum karibu na haipothalamus
.Zimegawanyika katika sehemu kuu mbili i)sehemu ya mbele ii)sehemu ya nyuma
Tezi hii huitwa tezi kuu kwa au tezikiongozi kwa sababu hutawala kazi za tezi za tezi zote za ndani.Pia hufanya kazi ya ukuaji (matendo ya ukuaji wa mwili)

SEHEMU YA MBELE YA PITUITARY
Inahusika na utoaji wa homoni ambazo zinahamasisha tezi nyingine kufanya kazi mfano homoni zinazohamashisha tezi za thairoidi kutoa homoni zake
.Homoni za kuhamasisha tezi za adrenal kutoa homoni zake
.homoni za kuhamasisha tezi za parathairoid kutoa prolaktini na laktetini pia homoni za kusinyaisha misuli laini

SEHEMU YA NYUMA YA PITUITARY
Hutoa homoni zinazofanya kazi za moja kwa moja  mfano homoni za (GH) Inahamasisha utanukaji wa misuli  kwa kurefusha misuli,Homoni za Follicles (FSH),homoni za Luteinizing (LH)
           TEZI ZA WENGU
Hupatikana katika utumbo mwembamba unaoitwa duodenum ambao umetengenezwa na seli mbili
Homoni zitolewazo katika tezi hii NI Glukagoni na Insulin ambazo hufanya kazi za tips
Glukagoni husaidia kubadili glaikogeni iliyoko katika damu kuwa glukose ambayo hufanya kazi ya kuongea sukari katika damu insulin hubadili glukosi katika mwili nakuwa glaikogeni
Insulini ikitolewa KWA kiwango mwilini husababisha kisukari cha juu(diabetes?) Ambapo hupelekea jasho,mkojo,mate kuwa na ladha ya sukari(kila majimaji katika mwili huwa na ladha ya sukari)
DALILI ZA KISUKARI
.Vidole viwili vya miguuni gumba na shahada hufa ganzi hata zaidi ya miezi miwili
.kichwa kuuma
.kuwa na uoni hafifu
.kidonda kuchelewa kupona

Basi KWA Leo tuishapo hapo tutaendele kesho panapo majaaliwa kwa


KARIBU KWA maoni NA USHAURI WAKO

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

USHAURI NA UNASIHI

              USHAURI NASAHA    Ushauri na sana Ni mazungumzo kati ya mtu mwenye ujuzi,utaalam na uzoefu wa kusikiliza na kutoa mwongozo wa namna ya kutatua tatizo LA mtu au kikundi cha watu. Ifahamike ushauri nasaha ni huduma inayohitaji watu wawili au zaidi yaani;  1:mnasihi(mshauri) huyu ni mmoja tu na si zaidi  2:mshauriwa au mteja wa mshauri (huwa mmoja au kundi) Mshauri huhitaji mshauriwa ili kufanikisha zoezi zima LA ushauri na saha Kwa nchi zilizoendelea kuna vitu vya ushauri na saha ambapo mshauri(therapist)huwa anasubiri mteja ili kufanikisha kazi ya utherapy au ushauri Kwa nchi za ulimwengu wa tatu ni ngumu kuona Kitu km hicho unless otherwise hospital... Hii ni kutokana na ukweli kwamba watu wengi wa nchi hizo hawapendi kutembelea vituo vya afya mpaka wapatwe na magonjwa hivyo hivyo kwa vituo vya ushauri.Watu wengi ni wagonjwa bila kutambua na huhitaji kushauriwa ili kuenenda vizuri na jamii Chunguza! Unaku...

JINSI YA KUMSHIKA MPENZI WAKO

    JINSI YA KUMSHIKA MKE AU MPENZI WAKO      Wengi hulizwa na wapenzi wao wa dhati pengine ni kwasababu hawajui wafanye nini!    Kuna mbinu za kumfanya mke au mume atulie na wewe. Mini mwanamke anataka? --->Anahitaji mwanaume anayempa furaha.Anaemfurahisha muda wote na kupenda -->Anahitaji mwanaume atakaye taniana naye.Tambua kwamba utani hunogesha zaidi mapenzi yenu sio kila wakati mwanaume upo serious laah unataka uitwe kinyago cha kutishia watoto? -->mwanaume atakayekuwa baba wa familia mwenye msimamo thabiti asiyeyumbayumba yaani Mara huku Mara kule na anayempenda -->Anahitaji mwanaume anayemridhisha katika tendon la ndoa .Hakika utapendwa japo tatizo kubwa kwa sasa ni Wanaume kutowaridhisha wake zAo nikuibie tu siri kidogo ;usiwe na papara muwapo kitandani tulia ikiwezekana cheza nae kwanza kabla ya tendon lenyewe na hapo utaona matokeo yake lazima tuu atakupenda tatizo LA wengi ni ikisha chanua anachojua ni kupiga mzimamzima ...

USHAURI WA NDOA NA MAPENZI

IMEANDALIWA NA *R.M - Professor of psychology Ohio state University-USA; katika kiingereza* IMETAFSIRIWA NA *MAISHA LASTON MWAIPAJA (AKABHOFU!!!!) BA.ED(horns) UDSM - TANZANIA ; katika kiswahili* *ZINGATIA*:- _TAFSIRI HII SIYO RASMI_ Anaanza kwa kusema......"Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi kuchepuka na akaendelea kumpenda mume wake kwa dhati.Nasema hivi kwasababu mwanaume hafanyi tendo la ndoa kwa hisia, mwanamke hawezi kufanya tendo la ndoa bila hisia mguso.Ndiyo maana wanaume wanahitaji mahali pa kufanya tendo la ndoa ila wanawake wanahitaji sababu ya kufanya tendo la ndoa. Wanawake wengi wanaoenda mahakamani kudai talaka kwa waume zao ni wale wachepukaji,mwanamke asiyechepuka hawezi kwenda mahakamani kudai talaka isipokuwa kama mumewe atakuwa amezidisha unyanyasaji wa kimwili na kiakili kiwango cha kukaribia kumuua mkewe. Wanaume hawawezi kubadili tendo la ndoa na upendo.Mwanaume anaweza kufanya tendo la ...